Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, February 13, 2014

TAZAMA PICHA JINSI WACHEZAJI WA YANGA WALIPOZUILIWA UWANJA WA NDEGE JANA WAKIHISIWA WAMEBEBA MADAWA


  Jana mchana Team ya Yanga Imekiona cha Moto baada ya kuzuiwa uwanja wa Ndege wa JKIA Hapa Dar Wakielekea Comoro Kwa Ajili ya Mchezo wa Marudiano ...Mtoa nyeti Amehabarisha kuwa Walihisiwa wamebeba mzigo ikabidi upitishwe ukaguzi wa nguvu

na kusababisha safari yao kuchelewa kwa muda wa Nusu saa...Hata hivyo msafara huo uliendelea na safari yao vizuri.Kila la heri Young african.

No comments:

Post a Comment