Bunge Maalum la Katiba Limekutana
Jioni Hii kuendelea na Shuguli zake Lakini Mvutano Mkubwa Umejitokeza
Hali iliyosababisha Vurugu Iliyoambatana na Kuzomea Zomea,Mvutano Huo
Uliibuka Pale Mjumbe Mh Tundu Lissu Aliposimama kuomba Muongozo Kuhusu Marekebisho ya Kanuni Ambayo Tundu Lissu anamtuhumu Mwenyekiti wa Bunge Mh Samweli Sitta Kupitia Kamati ya Uongozi kuleta Marekebisho Ya Mabadiliko ya Kanuni Kinyume cha Kanuni zilizopitishwa na Bunge Hilo la Katiba Wakati wakijadili na Kupitisha Kanuni za Bunge Hilo.
Mwenyekiti wa Bunge Hilo Mh Samwel Sitta Aliingilia Kati kujaribu Ufafanuzi Pamoja na Wajumbe Wengine Akiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mh Jaji Fredrik Warema Lakini
hali ya Kuzomea Iliendelea Ndipo Mwenyekiti wa Bunge Hilo Alipolazimika
Kuliahirisha Bunge Hilo Mpaka Kesho na Kuamuru Mapendekezo ya
Mabadiliko HayoMabadiliko hayo Yapelekwe kwenye Kamati Ya Kanuni Kajili
ya Maamuzi ili Yaweze Kuwasilishwa Katika Bunge Hilo.
WAZIRI JAFO ATAKA WASIMAMIZI WA MAGHALA KUTOA HUDUMA KWA UADILIFU NA
UAMINIFU
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akikagua Mradi wa
Usambazaji Maji vijiji 34 wilaya ya Ruangwa, vijiji 21 wilaya ya Nachingwea
na ki...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment