Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia
Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao
walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine
pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto),
mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa
Hospitali hiyo. (Picha kwa hisani ya AICC). Mama huyo alijifungua kwa njia ya
oparesheni wakiwa na afya njema. (Picha na AICC)
MBUNGE JAFO: MIAKA MITANO IJAYO NI YA MCHAKAMCHAKA WA MAENDELEO KISARAWE
-
*Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, akizungumza na Madiwani
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe alipokutana nao kwa ajili ya
kuzungumzi...
37 minutes ago

No comments:
Post a Comment