Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia
Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao
walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine
pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto),
mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa
Hospitali hiyo. (Picha kwa hisani ya AICC). Mama huyo alijifungua kwa njia ya
oparesheni wakiwa na afya njema. (Picha na AICC)
Wadau wa Madini Shinyanga wanufaika na uwepo wa Soko la Madini
-
-Wadau wapongeza uwepo wa ubao wa kidigitali wa kuonesha bei elekezi za
madini
Wadau wa madini wakiwemo wachimbaji, wachenjuaji na wafanyabiashara wa
madi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment