Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia
Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao
walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine
pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto),
mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa
Hospitali hiyo. (Picha kwa hisani ya AICC). Mama huyo alijifungua kwa njia ya
oparesheni wakiwa na afya njema. (Picha na AICC)
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR KUSHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA MAENDELEO YA
AFRIKA NCHINI CONGO BRAZAVILLE
-
Na Benny Mwaipaja, Congo, Brazaville.
Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasili nchini
Congo, Brazzaville, amabako atashiriki Mk...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment