KIKOSI CHA YANGA - NGASSA AANZIA BENCHI
1. Juma Kaseja - 29
2. Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 4
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani - 5
6. Frank Domayo - 18
7. Saimon Msuva - 27
8. Hassan Dilunga - 26
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Hamisi Kizza - 20
11. Emmanuel Okwi - 25
Subs:
1. Barthez, 2.Luhende, 3. Chuji, 4.Nizar, 5. Javu, 6. Tegete, 7. Ngasa
KIKOSI CHA AZAM FC
Aishi, Nyoni, Michael, Morad, Balou, Himid, Sure Boy, Bocco, Kipre Tchetche na Mcha
DK 5'...Azam 0 Yanga 0
DK 10 Bocco aliumia akalala chini, amerejea uwanjani.
14' kavumbagu anaipatia yanga goli la kuongoza.....azam 0 yanga 1
20' azam wanapata bao ila refa analikataa...kipre alifanya madhambi kabla ya kufunga.
21' kipre anapiga shuti linagonga mwamba..Azam wanashambulia kwa kasi sasa
24' erasto nyoni anapata kadi ya njano, kamkwatua
okwi.
erasto nyoni anapewa kadi nyekundu
wanakosa....manula anadaka penalty ya kiiza
Dakika ya 71 Hamisi Kizza anakosa penati, anaingia Mrisho Ngasa kuchukua nafasi ya Didier Kavumbagu
Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Azam FC
DK 37 David Mwantika anamchezea rafu Owki kwenye box ila refa anapeta, kwa maoni yangu yanga wamenyimwa penalty ya waziwazi
Dakika ya 43 ya kipindi cha kwanza: Yanga 1, Azam 0
Mapumziko: Yanga 1-0 Azam
mpira unachelewa kuanza, nyavu za goli la kaskazini zinamatatizo. wachezaji wanapasha misuli wakisubiri
Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza,
Young Africans 1 - 0 Azam FC
57' azam 0 yanga 1
Dakika ya 60, Young Africans 1 - 0 Azam FC
Dakika ya 84, Kelvin Friday anaipatia Azam FC bao la kwanza
88' anaingia Hussein JAVU, kiiza out
Mpira umemalizika, Young Africans 1 - 1 Azam FC
Didier Kavumbagu dkk 14
Kelvin Friday 84
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
9 hours ago


No comments:
Post a Comment