Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, March 3, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MSIKITI KIBOJE UWANDANI ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi wa kijiji cha kiboje uwandani alipowasili katika kijiji hicho leo Machi 2-2014 kwa ajili ya kufungua msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli uliojengwa na baadhi ya wafadhili kwa kushirikiana na Muwakilishi wa Jimbo la Uzini Mhe. Mohammed Raza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi wakiondosha kitambaa kuzindua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli leo Februari 2-2014 uliojengwa katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kufungua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli leo Machi 2-2014 katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi wakiondosha kitambaa kuzindua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli leo Machi 2-2014 uliojengwa katika kijiji cha Kiboje Uwandani Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa kijiji cha kiboje uwandani baada ya kufungua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli uliopo katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar leo Machi 2-2014.
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Kabi akiongoza Dua ya pamoja baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal kufungua msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli uliopo katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar leo Machi 2-2014. Picha na OMR

No comments:

Post a Comment