Dereva
wa Bodaboda, akiwa na abiria wake, wakinyanyua miguu kukwepa kulowa na
maji ya mvua yaliyofurika kwenye barabara ya Mbozi, Chang'ombe jijini
Dar es Salaam jana. Mvua ya siku mbili tu tayari imeanza kuleta
kasheshe, si kwa wenye magari pia wenye bodaboda, watembea kwa miguu.
Mto Msimbazi ukionekana Alhamisi Machi 6, 2014 baada ya mvua ya siku mbili jijini Dar es Salaam
KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA(TIC) KUJENGWA ARUSHA
-
*Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo
akizungumza katika kongamano la uwekezaji kwenye sekta ya Utalii Jijini
Arusha Leo 3...
RAIS MAGUFULI NA HISTORIA ISIYOFUTIKA
-
Na Emmanuel J. Shilatu
Kama ambavyo Watanzania tunavyomkumbuka Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius
Nyerere kwa kusaidia ukombozi wa upatikanaji wa uhur...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment