Katika kukagua uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dsm, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Afande Kova wamenusurika ajali ya helikopita iliyotokea leo Jijini Dsm.
Click image for larger version. 

Name:	3fb6045cabfb482f399ddd01b2f3d459.jpg 
Views:	0 
Size:	72.5 KB 
ID:	151056
Helikopita Ikizimwa Moto

Jamani tumuombe mwenyezi Mungu awalinde hawa viongozi wetu wapendwa waliokuwa katika kuwatumikia watanzania. Natoa baadhi ya picha za helikopita hiyo ikizimwa moto
Click image for larger version. 

Name:	7a485f354cb07268f3d727d1d35073da.jpg 
Views:	0 
Size:	73.5 KB 
ID:	151057
Click image for larger version. 

Name:	16c84ae9b714c405f2f16523a247c4f0.jpg 
Views:	0 
Size:	77.4 KB 
ID:	151058


Hali ikiwa shwali

Click image for larger version. 

Name:	3d4c4b635025850f151d4afc4c207bf7.jpg 
Views:	0 
Size:	32.6 KB 
ID:	151060