Katika kukagua uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dsm, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Afande Kova wamenusurika ajali ya helikopita iliyotokea leo Jijini Dsm.
Helikopita Ikizimwa Moto
Jamani tumuombe mwenyezi Mungu awalinde hawa viongozi wetu wapendwa waliokuwa katika kuwatumikia watanzania. Natoa baadhi ya picha za helikopita hiyo ikizimwa moto
Hali ikiwa shwali
![]()
UCSAF Yajivunia Kupeleka Mawasiliano Vijijini, Zaidi ya Minara 2,000
Yajengwa Nchini.
-
Na Belinda Joseph- Dodoma.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umeendelea kuwa nguzo muhimu katika
kusogeza huduma za mawasiliano karibu na wananchi, hus...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment