Mkazi
wa Bonde la Mpunga - msasani, Dar es Salaam akiangalia hali ya mafuriko
na baadhi ya vitu vyake alivyofanikiwa kuviokoa. Hii ni baada ya mvua
kubwa inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam

Hivi ndivyo eneo la maduka ya Mayfair Plaza, Mikocheni lilivyoonekana kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyeesha jijini Dar es Salaam

Hivi ndivyo eneo la maduka ya Mayfair Plaza, Mikocheni lilivyoonekana kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyeesha jijini Dar es Salaam


No comments:
Post a Comment