Mkazi
wa Bonde la Mpunga - msasani, Dar es Salaam akiangalia hali ya mafuriko
na baadhi ya vitu vyake alivyofanikiwa kuviokoa. Hii ni baada ya mvua
kubwa inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc3/t1.0-9/10177926_241200146065009_6602743255630565733_n.jpg)
Hivi ndivyo eneo la maduka ya Mayfair Plaza, Mikocheni lilivyoonekana kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyeesha jijini Dar es Salaam
![](https://scontent-a-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-frc3/t1.0-9/10177926_241200146065009_6602743255630565733_n.jpg)
Hivi ndivyo eneo la maduka ya Mayfair Plaza, Mikocheni lilivyoonekana kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyeesha jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment