Balozi
wa Tanzania nchini Marekani Mhe. (Riberata Mulamula kulia)akiwaongoza
ma afisa wa ubalozi Paul Mwafongo kushoto na Suleiman Saleh wa pili
kutoka kushoto kumpokea Naibu Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Lameck
Nchemba alipowasili leo katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwaajili ya
kuungana na Watanzania waishio nchini Marekani katika maazimisho ya
miaka 50 ya sherehe ya muungano.
TEMDO YABUNI MTAMBO MPYA WA KUCHAKATA MIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA SUKARI
-
*SHIRIKA la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) limebuni, kusanifu
na kutengeneza mtambo wa kuchakata zao la miwa ili kupata sukari kwa
kiwan...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment