Balozi
wa Tanzania nchini Marekani Mhe. (Riberata Mulamula kulia)akiwaongoza
ma afisa wa ubalozi Paul Mwafongo kushoto na Suleiman Saleh wa pili
kutoka kushoto kumpokea Naibu Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Lameck
Nchemba alipowasili leo katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwaajili ya
kuungana na Watanzania waishio nchini Marekani katika maazimisho ya
miaka 50 ya sherehe ya muungano.
DC MAGOTI AIPONGEZA TET KWA MABORESHO YA MITAALA YA ELIMU NCHINI
-
Na. Mwandishi Wetu, Dar.
MKUU wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu
Tanzania (TET) kwa namna ilivyofanya maboresho ya Mita...
54 minutes ago


No comments:
Post a Comment