Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, April 19, 2014

Taasisi ya faridas foundation yazindua mradi mpya wa TADEPUGRA

Taasisi ya faridas foundation imezindua mradi mpya utakaojulikana kwa jina la Tanzania Development Projects for Unemployed Graduates (TADEPUGRA) lengo likiwa ni kufungua milango kwa wahitimu wa ngazi mbali mbali wasio na ajira hapa nchini, Mradi huu utanufaisha vijana zaidi ya 100 ikiwa ni kuwaajiri ndani ya taasisi na kuwawezesha kuanzisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo, pia itatoa tuzo kwa waandishi mahiri 10 watakaoshinda kuandika muswaada (proposal) wa miradi ya kijamii. 

Form za kujiunga zinapatikana faridas shop akachube road, kijitonyama Dar es salaam, vilevile unaweza kuomba utumiwe kwenye email yako tukakutumia na pia katika tovuti yetu www.faridasfoundation.org Malipo ya hizo form ni sh 5000/= tu yafanyike katika account ya taasisi faridas foundation limited 0150259122000 katika tawi lolote la CRDB au katika duka hilo na hakikisha unapatiwa risiti. 

Semina na uwasilishaji wa form utafanyika tar 5 na 6 May,2014 katika ukumbi wa Urafiki social hall, Urafiki shekilango dar es salaam , kuanzia saa  2 asubuhi mpaka saa 12 jioni, fomu zisizo na risiti au stakabadhi ya benki haitohesabika na mwasilishaji hatoruhusiwa kuhudhuria semina hyo. 

Hakikisha umeambatanisha nakala kivuli cha vyeti vyote.
Kwa mawasiliano zaidi..
Simu #
+255737218069+255737218069,
+255713555066+255713555066,
+255715921008+255715921008,
+25573721008,
+255656676441+255656676441, na
+255715186262+255715186262. au emails:
faridasfoundation@gmail.com
h.lumamy@gmail.com
Asanteni.

2 comments:

  1. Hello, I am Mr. James wood, private loan lenders
    gives life time opportunity loans.
    Do you need a loan urgently to pay off your debts
    or you need a loan
    to improve your business?
    You have been rejected by
    banks and other financial institutions?
    Do you need a consolidation loan or mortgage?
    looking for more because we are here to make all
    problems
    Your financial terms
    of the past. We lend funds to individuals
    in need of financial assistance, that have a bad credit
    or in need
    money
    to pay bills, to invest on business at a rate of 2%. I
    want to use this
    medium to inform you that we provide reliable
    assistance and
    receiver and
    would be willing to offer a loan.So contact us today
    via
    email:
    jameswoodloan@gmail.com Data BORROWER 'S

    1) Full Name:...................................

    2)State: .......................................

    3) Address: ....................................

    4) Country: ....................................

    5) Sex: ........................................

    6) Marital Status: ................... .........

    7) Occupation: ..................... ...........

    8) Phone Number: ...............................

    9) Currently position in the workplace:.........

    10) Monthly income: ............................

    11)Loan Amount Needed: .. ......................

    12) Loan term:..................................

    13) Loan Purpose: ..............................

    14) Religion : .................................

    15) Do you apply before.........................

    16) Email ......................................

    17) Password ........ ..........................

    ReplyDelete
  2. HOW I GOT MY BUSINESS BACK ON TRACK
    “It has been great to know that there is someone out there that knows about falling down and getting back up. We always stay humble and never give up, and for GANNETT INTERNATIONAL FINANCE LLP to see that in us, we are truly grateful for the help and push we have received. "Gannett International Finance LLP" has been incredibly helpful to our company by providing a line of credit for our continued growth." -Richard Lawson
    Do you have a firm or company that need loan to start up a business or need a personal loan, Debt consolidation?
    Reach out to them today via
    WhatsApp:+447449373835 or
    email: loans@gannettfinancellp.com
    for more details and procedures.

    ReplyDelete