Ray C Foundation Wiki iliyopita tuliwatembelea waathirika wa madawa ya
kulevya Kinondoni!!!tumeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya
Methadone Mwananyamala....nimefurahisana kusikia kutoka Kwao kwamba na wao
wamechoka na Maisha ya utumwa......Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......
FCC YAJIPANGA KUONGEZA UBORA NA UFANISI KUPITIA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WAKE
-
*Mkurugenzi wa Tafiti, Muungano wa Makampuni, na Utoaji wa Elimu ya
Ushindani, Zaituni Kikula akichangia mada katika mafunzo hayo yanayofanyika
kwa...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment