Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, June 2, 2014

PICHA ZA RAY C AKIWA MTAANI KUHAMASISHA MATEJA KUACHA UNGA



 Ray C Foundation Wiki iliyopita tuliwatembelea waathirika wa madawa ya kulevya Kinondoni!!!tumeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya Methadone Mwananyamala....nimefurahisana kusikia kutoka Kwao kwamba na wao wamechoka na Maisha ya utumwa......Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......


No comments:

Post a Comment