Ray C Foundation Wiki iliyopita tuliwatembelea waathirika wa madawa ya
kulevya Kinondoni!!!tumeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya
Methadone Mwananyamala....nimefurahisana kusikia kutoka Kwao kwamba na wao
wamechoka na Maisha ya utumwa......Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......
Kitaifa : Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na waziri Mkuu Mstaafu
Kassim Majaliwa
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim
Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigu...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment