Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, July 14, 2014

Edward Lowassa Akagua Ujenzi wa Hospitali ya Kisasa Wilayani Monduli.

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli-CCM Mh Edward Lowassa akipata maelezo kutoka kwa mhandisi msaidizi Paul Kisesa wakati alipokwenda ghafla jana kukagua ujenzi wa hospitali ya kisasa wilayani Monduli.Lowassa ameelezea kutofurahishwa na kasi ndogo ya ujenzi wa hospitali hiyo ambayo itakuwa na vifaa vya kisasa.

No comments:

Post a Comment