Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli-CCM Mh Edward Lowassa akipata maelezo kutoka kwa mhandisi msaidizi Paul Kisesa wakati alipokwenda ghafla jana kukagua ujenzi wa hospitali ya kisasa wilayani Monduli.Lowassa ameelezea kutofurahishwa na kasi ndogo ya ujenzi wa hospitali hiyo ambayo itakuwa na vifaa vya kisasa.
WAZIRI MKUU RASMI MKUTANO WA KUMI WA WADAU WA LISHE.
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 03, 2024 anafunga mkutano wa Kumi wa
Wadau wa Lishe unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Malaika Beach
Resort, J...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment