Shirika la kutetea haki za binaadamu Amnesty International
limetoa taarifa kuwa makampuni yapatayo mia moja na thelathini nchini humo,kati
yao wamekiri kutengeneza vifaa hivyo ikiwemo vibanio vya umeme,viti vya
umeme,na pingu za vidole gumba.
Inasemekana vifaa vingi japo hutengenezwa na kusafirishwa,vingi matumizi yake ni katika kuleta maumivu mwilini na mateso.shirika hilo la kutetea
haki za binadamu lina shaka na nchi zenye ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu hasa Africa na Kusini Mashariki mwa Asia wao ndio wateja wakuu wa vifaa hivyo.



No comments:
Post a Comment