Rais wa Wasanii wa Bongo Muvi Steve Nyerere ametangaza kujizulu rasmi nafasi yake hiyo kuanzia Jana na Leo asubuhi atazungumza na Waandishi wa habari katika Ukumbi
wa Maelezo hapa mjini kuelezea kwa kirefu kuhusu uamuzi wake huo.
Akuzungumza na Blogu hii Steve alikuwa akiongea
kwa upole sana na kusisitiza kwamba hatatoa maelezo mpaka
kesho, juhudi zote za hii blog kumbana aseme sababu ya uamuzi wake huo wa ghafla Steve alisema ni kesho(Leo) tu ndio atatoa maelezo kwa anayetaka kujua na kusikia sababu aje kesho Asubuhi Maelezo.
kesho, juhudi zote za hii blog kumbana aseme sababu ya uamuzi wake huo wa ghafla Steve alisema ni kesho(Leo) tu ndio atatoa maelezo kwa anayetaka kujua na kusikia sababu aje kesho Asubuhi Maelezo.
No comments:
Post a Comment