Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, November 4, 2014

MKURUGENZI WA MAKOSA YA JINAI (DCI) ISAYA MNGULU ASTAAFU, KAMANDA WA ZAMANI WA MBEYA AKAIMU

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu.Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya.



Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya.Msemaji wa jeshi la polisi nchini, Advela Senso amethibitisha taarifa hiyo ambapo kwa sasa Kamanda Diwani atakaimu nafasi hiyo hadi pale jeshi litakapotangaza rasmi.

No comments:

Post a Comment