






Baadhi ya wafanya kazi wa NHIF na wadaktari wakiwa katika picha ya pamoja
Baadhi
ya madaktari bingwa na maafisa wa NHIF waliokwenda mkoani Mara kwa
ajili ya zoezi hilo, kutoka kushoto ni Dr. Rogatus (Daktari Bingwa wa
watoto) toka hospitali ya Bugando, Dr Albert( bingwa wa usingizi) toka
MOI, Dr Tiba (bingwa wa magonjwa ya moyo) toka hospital ya taifa ya
muhimbili, Sabina Komba (Afisa uhusiano)toka NHIF makao makuu, sadick
Adamu (logistics) toka NHIF makao makuu, Dr Rumanyika( bingwa wa
magonjwa ya kinamama) toka hospital ya Bugando.
No comments:
Post a Comment