Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiangalia kwa mshangao gari aina ya Toyota Spacio, lenye namba za usajili, T111 BHW likiwa limepinduka chini juu mbele ya ofisi za TFA barabara ya Boma ,jirani kabisa na kipita shoto cha mnara wa saa ,Dereva wa gari hilo anadaiwa alikuwa akijaribu kuwakimbia askari wa kikosi cha barabarani kwa mwendo wa kasi kabla ya kugonga gari jingine na hatimaye kupinduka.hakuna aliepoteza maisha kwenye tukio hilo la ajali.
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini
GF YAADHIMISHA MIAKA 19 YA KUANZISHWA KWAKE,ASILIMIA 90 YA WAFANYAKAZI NI
WAZAWA.
-
Katika kuadhimisha miaka 19 ya kuanzishwa kwa kiwanda cha kuunganisha
magari cha GF, uongozi wa kiwanda hicho umesema unajivunia kuwa sehemu ya
kuzalisha ...
2 hours ago
.jpg)
.jpg)

No comments:
Post a Comment