Habari ya kuachiliwa kwa mtoto wa actor
Jackie Chan ambaye alikamatwa kwa kosa la kukutwa na bangi nyumbani kwake na
pia kosa la kuruhusu watu wavute bangi nyumbani kwake.
Jackie Chan ni Balozi wa mapambano ya dawa za kulevya China
tangu mwaka 2009, lakini hakuwahi kufanya ushawishi wowote ili mtoto wake aachiwe
gerezani.
Watu wa China wanahisi Chan kaachiwa mapema kwa sababu baba
yake ni mtu mwenye ukaribu mkubwa na viongozi wa juu wa Serikali ya nchi hiyo.
No comments:
Post a Comment