Ajali ya roli imetokea Sinza Mori mida hii baada ya roli hilo kuchomoka tairi ya nyuma lakini hakuna mtu aliyepata madhara katika ajari hiyo pamoja na tairi kwenda mbali zaidi na eneo la tukio, hata hivyo dereva wa roli hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.CHANZO OTHMAN MICHUZI
Serikali yaanzisha Uchunguzi Hospitali ya Temeke, Tuhuma za Rushwa
zachunguzwa
-
Dodoma Desemba 26, 2025: Serikali imeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu
mwenendo wa utoaji wa huduma katika Hospitali ya Temeke, ikiwemo kuzimwa
kwa mashine...
4 hours ago





No comments:
Post a Comment