Ajali ya roli imetokea Sinza Mori mida hii baada ya roli hilo kuchomoka tairi ya nyuma lakini hakuna mtu aliyepata madhara katika ajari hiyo pamoja na tairi kwenda mbali zaidi na eneo la tukio, hata hivyo dereva wa roli hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.CHANZO OTHMAN MICHUZI
RC TANGA ATOA NENO KWA WANUNUZI WA ZAO LA MWANI
-
*Mkuu wa Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea wakulima
wa zao hilo katika Mtaa wa Sahare Kijijini Kata ya Mzingani Jijini Tanga
ambao ...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment