Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, October 23, 2015

JOYCE MSIRU ,MKURUGENZI MTENDAJI MPYA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI.MUWSA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji sa na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWASA,Sharry Raymond akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka hiyo wakati wa utamburisho wa Mkurugenzi mpya wa MUWSA.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA.

 
Mwenyekiti wa Bodi ya MUWSA,akizungumza.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,Sharry Raymond akimtamburisha Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo,Joyce Msiru mbele ya wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,Joyce Msiru akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka hiyo mara baada ya kutamburishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa Mamlaka hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA wakiwa katika kikao hicho.
Aliyekuwa kaimu mkurugenzi wa Mamlaka hiyo,Mhandisi Patrick Kibasa akizungumza wakati wa kikao hicho.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa MUWSA,Mhandisi Alfred Shayo akizungumza katika kikao hicho.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa MUWSA kutoka wizarani,Abdalah Mkufunzi akizungumza katika kikao hicho.  
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya MUWSA,Hajira Mmambe akizungumza katika kikao hicho.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya MUWSA,Boniface Mariki akizungumza katika kikao hicho.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa MUWSA,Elizabeth Minde akizungumza katika kikao hicho.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakzi,TUICO tawi la MUWSA,Masudi Barie akizungumza kwa niaba ya wafanyakazi wakati wa kikao cha utamburisho wa mkurugenzi mpya.
Afisa habari wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA,Florah Nguma akisema neno la mwisho mara baada ya utamburisho wa mkurugenzi mpya wa Mamlaka hiyo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment