Mafundi wakiendelea na Upanuzi wa barabara ya Mwenge Morocco jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Hii ni baada ya Rais kuelekeza fedha za maadhimisho ya siku ya uhuru ya Disemba 9 zitumike katika upanuzi wa barabara hiyo.
SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZA FEDHA ZA KUTOA MIKOPO KUFUATA UTARATIBU
-
Na. Josephine Majura, WF, Dodoma
Serikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera,
kiutawala na kisheria ili kudhibiti tabia ya baadhi ...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment