Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, December 1, 2015

UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA


Mafundi wakiendelea na  Upanuzi wa barabara ya Mwenge Morocco jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Hii ni baada ya Rais kuelekeza fedha  za maadhimisho ya siku ya uhuru ya Disemba 9 zitumike katika upanuzi wa barabara hiyo.

No comments:

Post a Comment