Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, April 9, 2015

HUU NDIO MSIMAMO WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA


GWAJIMA AENDELEA KUONYESHA MSIMAMO WAKE WA KUTOTOKA KAWE!!




Licha ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kumtaka Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, kuhamisha makazi ya kanisa lake lililopo katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, bado hajatekeleza.
 Wiki iliyopita, Meneja Uhusiano wa NHC, Yahya Charahani, alilieleza NIPASHE kuwa walimpatia notisi Askofu Gwajima ya kuhama eneo hilo mwezi mmoja uliopita, muda ambao ulimalizika jana.

TAZAMA PICHA ZA FLOYD MAYWEATHER AKIENDELEA KUJIFUA


BASI LA HAPPY NATION LAPATA AJALI MIKUMI



WATU 10 WAFARIKI DUNIA BAADA YA MABASI YA NGORIKA NA RATCO KUGONGANA

Watu 10 wamekufa katika ajali iliyohusisha magari matatu katika eneo la Mkata katika Kijiji cha Mbweni Wilayani Handeni Mkoani Tanga majira ya saa 5 asubuhi ya leo.
 Polisi mkoani Tanga wamethibitisha tukio hilo na kusema ajali hiyo imehusisha mabasi mawili ya abiria na gari dogo katika barabara ya Dar es Salaam kwenda Tanga na Arusha.


TAZAMA VIDEO::KUELEKEA MPAMBANO MKALI KATI YA MANNY PACQUIAO NA FLOYD MAYWEATHER


SOMA HAPA KWA UMAKINI::JE UNAJUA NI KWA JINSI GANI VYAKULA VINASABABISHA MAGONJWA?


Jarida la Emerging Infectious Diseases linasema kwamba zaidi ya magonjwa 200 yanaweza kusababishwa na chakula. Hata hivyo, vijidudu vinavyosababisha magonjwa hayo yote si vingi sana.

 Huenda takwimu zifuatazo zinaweza kufanya mtu afikiri hivyo. Kulingana na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), kila mwaka watu milioni 130 hivi katika Eneo la WHO huko Ulaya wanaambukizwa magonjwa yanayosababishwa na chakula.

Katika mwaka wa 1998, zaidi ya watu 100,000 nchini Uingereza walikuwa wagonjwa kwa sababu ya kula chakula kibaya, na 200 kati yao walikufa. Inakadiriwa kwamba kila mwaka watu milioni 76 hivi wanapata magonjwa yanayosababishwa na chakula huko Marekani, na 325,000 kati yao hulazwa hospitalini, na 5,000 hufa.
 Si rahisi kujua hesabu kamili ya ulimwenguni pote. Hata hivyo, shirika la WHO linaripoti kwamba watu milioni 2.2 hivi walikufa kutokana na magonjwa ya kuharisha katika mwaka wa 1998, na milioni 1.8 kati yao walikuwa watoto. Ripoti hiyo inasema: “Wengi kati ya wagonjwa hao waliambukizwa magonjwa yanayosababishwa na chakula au maji machafu.”

Huenda ukashtuka kusikia takwimu hizo kubwa, Lakini je, takwimu hizo zikufanye uwe na wasiwasi mwingi juu ya chakula? Bila shaka la. Ebu fikiria mfano mwingine. Kila mwaka watu milioni 4.2 hivi nchini Australia wanapata magonjwa yanayosababishwa na chakula, yaani watu 11,500 hivi kila siku! Huenda hiyo ikaonekana kuwa idadi kubwa sana. Lakini kwa upande mwingine: Waaustralia hula milo bilioni 20 kila mwaka, kwa hiyo ni milo michache sana inayosababisha magonjwa.

VIDEO YA POLISI WA KIZUNGU AKIMPIGA KWA RISASI NA KUMUUA MTU MWEUSI YAZUA UTATA



Polisi wa kizungu wa South Carolina nchini Marekani, jana Jumanne alishtakiwa kwa kosa la mauaji, saa chache baada ya maofisa kutazama video ya kushangaza inayomuonesha akimpiga risasi mgongoni na kumuua mwanaume mwenye asili ya Afrika aliyekuwa akikimbia.

Meya wa North Charleston, Keith Summey alitangaza mashtaka hayo kwenye mkutano na waandishi wa 

PICHA 10::YANGA WALIPOIABISHA COASTAL UNION KWA GOLI 8 BILA


Kiungo wa Yanga, Salum Telela, akimiliki mpira mbele ya
wachezaji wa Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Barauliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Yanga imeshinda 8-0.(Picha na Francis Dande).
Simon Msuva akishangilia bao aliloifungia timu yake.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia.
Haruna Niyonzima akiruka kihunzi cha, Hamoud Abdulhalim.

BARCELONA WAITANDIKA ALMERIA GOLI 4 BILA


CHRISTIANO RONALDO AWEKA REKODI YA KUFIKISHA GOLI 300 AKIWA NA REAL JANA WALIPOICHAPA RAYO VALLECANO GOL 2 BILA

 Christiano Ronaldo jana ameweka rekodi ingine akiwa na klabu ya Real Madrid baada ya kuweka nyavuni Goli lake la 300 kwa mechi 288 alizoichezea klabu hiyo.

REKODI YAKE HII HAPA CRISTIANO RONALDO
 300 - goals
 288 - appearances 
 206 - right footed
 52 - left footed
 41 - headers
 55 - penalties
 77 - assists


MAJOGOO WA JIJI WALEEE NUSU FAINALI BAADA YA KUCHAPA BLACKBURN GOLI 1 BILA


Wanafunzi wa Tanzania Wanaosoma Mjini Beijing China

Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing China wakiwa katika

WAZIRI STEVEN WASIRA AWAFUKUZA WAKURUGENZI WATATU KWA KUISABABISHIA SERIKALI HASARA YA BILLION 2.5

WAZIRI wa kilimo, Chakula na Ushirika Steven Wasira amewafukuza kazi wakurugenzi watendaji watatu wa Mamlaka ya Kuendeleza Bonde la Mto Rufiji (Yaani Rufiji River Basin Development Authority – RUBADA) kutokana na matumizi mabaya ya ofisi ya Umma ambayo yameitia hasara ya Bilioni 2.5 Serikali .Akitoa agizo hilo leo mbele ya Waandishi wa Habari, Waziri Wasira amewataja Watendaji hao kuwa ni 

TANZANIA YADONDOKEA KUNDI LA KIFO AFCON

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa mwaka 2017 imepangiwa makundi yake ya michuano ya kufuzu hii leo (jumatano) huko Cairo nchini Misri kwenye makao makuu ya shirikisho la soka barani Afrika CAF .
Makundi hayo yaneshuhudia timu kubwa zikipangwa kwenye nafasi za kwanza huku zikipangwa na mataifa madogo kama ulivyo utaratibu wa kugawa nafasi kuendana na viwango vya ubora.

RADIO ZA JAMII ZASHUKURU KWA KUPOKEA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUTI`‏

Wasimamizi wa redio za jamii wakisikiliza kwa makini wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Mtandao wa redio za Jamii, Joseph Sekiku akiongea machache kabla ya kuwagawia wasimamizi wa redio za jamii wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

28 AL SHABAAB terrorists arrested on their way to attack other installations in Kenya & UG


Police have arrested 28 Al Shabaab suspects who were labelled dangerous and were on a mission to cause havoc in Kenya and Uganda.


The 28 were arrested in Nakuru and Marsabit Counties as police intensified patrols and roadblocks along the highways after the chilling massacre of 147 students in Garissa University College last Thursday.


WENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA MJASIRIAMALI BI. MARY DAVID JIJINI DAR .


 Mjasiriamali na Muandaaji wa wa Semina ya Kilimo na Ufugaji wa Kisasa Bi. Mary David Kinong'o akitoa Maelezo juu ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa ambapo aliwasisitiza Vijana na watu wote kujiunga na ujasiliamali na kuunda vikundi mbalimbali ili kujiendeleza kiuchumi.