Meneja wa Tanesco kanda ya Temeke,Richard Mallamia akiwaonyesha waandsishi wa habari mita iliyochezewa na kuunganishwa umeme kinyume na mfumo wa kawaida ilikuiba umeme kwenye duka moja eneo la Kigamboni ambapo zoezi la kukamata wezi wa umeme linaendelea.Mafundi wa Tanesco wakipitia pita iliyokuwa ikitumika kwa kuiba Umeme.Wataalamu wa mifumo ya umeme na mafundi wa Tanesco kanda ya Temeke wakiangalia namna mita ilivyochezewa na kuiba umeme kwenye nyumba ya mfanyabishara Jamal Hassan eneo la Kigamboni na kuiba umeme.
MTAALAM SEKTA YA MAFUTA DK.SAJAD RAI AMPONGEZA MAKAMU WA RAIS NDEJEMBI
-
Na Mwandishi Wetu
MTAALAM katika Sekta ya Mafuta nchini Dkt Sajad Habib Rai amempongeza
Makamu wa Rais Ndejembi kwa kuapishwa kwake kushika nafasi hiyo hu...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment