Meneja wa Tanesco kanda ya Temeke,Richard Mallamia akiwaonyesha waandsishi wa habari mita iliyochezewa na kuunganishwa umeme kinyume na mfumo wa kawaida ilikuiba umeme kwenye duka moja eneo la Kigamboni ambapo zoezi la kukamata wezi wa umeme linaendelea.Mafundi wa Tanesco wakipitia pita iliyokuwa ikitumika kwa kuiba Umeme.Wataalamu wa mifumo ya umeme na mafundi wa Tanesco kanda ya Temeke wakiangalia namna mita ilivyochezewa na kuiba umeme kwenye nyumba ya mfanyabishara Jamal Hassan eneo la Kigamboni na kuiba umeme.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment