MARA
kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama
barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi huenda
wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi
wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama
barabarani mjini Moshi ambao majina yao
hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
katika kituo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya
kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace
aliyeshikwa na trafiki hao.//Picha na Nakajumo James
Vodacom Digital Accelerator na Bridge for Billions waingia ubia wa miaka
mitatu kuimarisha mfumo wa ujasiriamali Tanzania
-
*Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando (kushoto), akisalimiana na
Mkurugenzi wa Programu za Afrika wa Bridge for Billions, Liliosa Mbirimi
(kulia)...
15 hours ago


No comments:
Post a Comment