Askari
wa Jeshi la polisi kutoka vikosi mbalimbali wakiwa wanapanga mikakati
kabla ya kuingia katika mashamba yaliyowazunguka kuharibu madawa ya
kulevya aina bangi na kisha kuiteketeza kwa moto katika operesheni
iliyofanyika wilayani Arumeru. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la
Polisi Arusha)
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
10 hours ago




No comments:
Post a Comment