SIO ISHU:::DOGO JANJA ADANGANYA UMMA KUHUSIANA NA ELIMU YAKE SOMA HAPA
Hapa
Dogo Janjaro kaandika yupo kidato cha Tatu baada ya kufaulu kidato cha
pili.... Lakini Dogo hajafaulu Kama anavyodai, amefeli Kwa kupata
wastani wa %27. Somo la hesabu alipata sifuri. Anatakiwa kurudia kidato
cha pili.... Hii ni baada ya kudhibitishwa na mwalimu wake wa taaluma shule ya sekondari makongo
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment