Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, March 21, 2013

UJUMBE KWA WASOMAJI WETU



Anasema  ulalapo usiweke simu chini ya mto.Simu tunazo zitumia zinatoa mionzi mibayaambayo ni hatari.  Mionzi hiyo inaweza kukuletea matatizo ya kichwa pia inaweza kusabisha kuumwa na kichwa na kupata maumivu ya misuli.

No comments:

Post a Comment