Hii ni kati ya mahojiano ya mwisho mwisho aliyokuwepo marehemu Albert Mangwea kabla hajafariki, Izzo Bizness alikuja kuitambulisha ngoma yake inayoitwa "Ball Player" aliyomshirikisha marehemu Albert Mangwea na Quick Rocka..Siku hiyo marehemu Albert Mangwea alitisha sana Ngwair anafahamika sana kwa ukali wake wa mitindo…huru (Free style)...Rest In Peace!! Ngwair.
MEYA DKT. NICAS: TUMETENGA MIL. 900 UJENZI WA MADARASA, MIL. 400 KWA AJILI
YA MADAWATI KIBAHA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, amesema kuwa uongozi wake
pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha wametenga ...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment