Hii ni kati ya mahojiano ya mwisho mwisho aliyokuwepo marehemu Albert Mangwea kabla hajafariki, Izzo Bizness alikuja kuitambulisha ngoma yake inayoitwa "Ball Player" aliyomshirikisha marehemu Albert Mangwea na Quick Rocka..Siku hiyo marehemu Albert Mangwea alitisha sana Ngwair anafahamika sana kwa ukali wake wa mitindo…huru (Free style)...Rest In Peace!! Ngwair.
AGA KHAN UNIVERSITY YAWAKUTANISHA WADAU KUJADILI MUSTAKABALI WA UANDAAJI
WALIMU
-
Na Avila Kakingo
CHUO Kikuu cha Aga Khan kupitia Taasisi ya Maendeleo ya Elimu Afrika
Mashariki (IED, EA), kimewakutanisha waelimishaji wa walimu, watun...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment