Hii ni kati ya mahojiano ya mwisho mwisho aliyokuwepo marehemu Albert Mangwea kabla hajafariki, Izzo Bizness alikuja kuitambulisha ngoma yake inayoitwa "Ball Player" aliyomshirikisha marehemu Albert Mangwea na Quick Rocka..Siku hiyo marehemu Albert Mangwea alitisha sana Ngwair anafahamika sana kwa ukali wake wa mitindo…huru (Free style)...Rest In Peace!! Ngwair.
UCHIMBAJI WA DHAHABU KIGOSI, STAMICO YAINGIA MKATABA MPYA
-
Serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) imetia saini mkataba
wa uwekezaji katika sekta ya madini kwa ajili ya kuendeleza leseni ya
uchimbaji ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment