Hii ni kati ya mahojiano ya mwisho mwisho aliyokuwepo marehemu Albert Mangwea kabla hajafariki, Izzo Bizness alikuja kuitambulisha ngoma yake inayoitwa "Ball Player" aliyomshirikisha marehemu Albert Mangwea na Quick Rocka..Siku hiyo marehemu Albert Mangwea alitisha sana Ngwair anafahamika sana kwa ukali wake wa mitindo…huru (Free style)...Rest In Peace!! Ngwair.
NACTVET YAENDESHA MAFUNZO KUIMARISHA HUDUMA ZA UDAHILI NA MITIHANI VYUONI
-
Meneja wa Utahini na Utunuku wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na
Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Obeid Mahenya akizungumza wakati
akifungua m...
26 minutes ago

No comments:
Post a Comment