Hii ni kati ya mahojiano ya mwisho mwisho aliyokuwepo marehemu Albert Mangwea kabla hajafariki, Izzo Bizness alikuja kuitambulisha ngoma yake inayoitwa "Ball Player" aliyomshirikisha marehemu Albert Mangwea na Quick Rocka..Siku hiyo marehemu Albert Mangwea alitisha sana Ngwair anafahamika sana kwa ukali wake wa mitindo…huru (Free style)...Rest In Peace!! Ngwair.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA
YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua
rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji
unaofanyi...
22 minutes ago

No comments:
Post a Comment