M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi
ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya
chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea..Mwanzoni, M 2 THE P
alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia
Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli
Jeshi : Dkt. Samia: Tumeweka heshima, ujenzi Makao Makuu Ngome
-
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni
alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na
kutekeleza...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment