M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi
ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya
chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea..Mwanzoni, M 2 THE P
alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia
Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli
MAKAMU WA RAIS AZINDUA AFISI YA UHAMIAJI WILAYA YA KATI UNGUJA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ametoa wito kwa Wakazi wa Dunga mkoa wa Kusini Unguja kuendelea
kushi...
9 hours ago




No comments:
Post a Comment