M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi
ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya
chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea..Mwanzoni, M 2 THE P
alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia
Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli
SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA KUPITIA VISIMA VYA UMWAGILIAJI
-
Njedengwa - Dodoma 📍
SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija katika
kilimo baada ya kusambaza pampu za Umwagiliaji kwa vikun...
3 hours ago




No comments:
Post a Comment