M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi
ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya
chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea..Mwanzoni, M 2 THE P
alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia
Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli
NACTVET YAENDESHA MAFUNZO KUIMARISHA HUDUMA ZA UDAHILI NA MITIHANI VYUONI
-
Meneja wa Utahini na Utunuku wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na
Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Obeid Mahenya akizungumza wakati
akifungua m...
30 minutes ago




No comments:
Post a Comment