| Mwana F.A akishow Love na Msanii toka Kenya Prezzo akiwa anaelekea jukwanii... |
| Prezzo akipunga kofia kwa hewa kuwasalimu watanzania waliofurika uwanjani hapo... |
| Prezzo akifanya yake uwanjani...!! |
| Prezzo akiwa amevalia tshirt yenye bendera mbili,Kenya & Tanzania hii akimanisha ana damu mbili.... Kama ujui ngoja nikujuze.......Mama mzazi wa Prezzo ni Mtanzania kabisa toka mwanza... |

No comments:
Post a Comment