Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, July 24, 2013

MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MASHUJAA MOROGORO


 

 Askari wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) kikiwa katika mazoezi ya kutoa heshima za mwisho kwa  mashujaa waliofariki dunia wakati wa gwalide la pamoja la jeshi la magereza, Polisi na JWTZ katika maandalizi ya mwisho ya kilele cha maadhimisho ya siku kuwakubuka mashujaa hao ambayo yataadhimishwa kimkoa kwenye mnara wa kumbukumbu  julai 25 mkoani Morogoro. 
 Askari wa jeshi la polisi wakiwa katika gwalide PICHA JUMAMTANDA.BLOG
 Askari wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) nao wakiwa katika gwalide la pamoja.
 Hapa ni askari wa jeshi la magereza wakiwajibika kwa ajili ya maandalizi hayo.
Askari wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) Mteule daraja la kwanza, Jonas Philipo kulia akitoa maelekezo eneo la barabara ya Stesheni.
Hapa Afande Philipo kulia akifafanua jambo kwa viongozi wakuu wa mkoa ndani ya jeshi na serikali.
 Moshi ukiwa umezagaa baada ya kulipuliwa kwa mizinga mitatu katika maandalizi hayo.
Hapa vikosi vyote vya JWTZ, Polisi na Magereza vikiingia katika eneo la mzunguko wa posta ambapo ndiko kutaadhimishwa sherehe hizo kimkoa julai 25/ 2013.

No comments:

Post a Comment