Gazeti la Jamhuri limeendelea kutaja majina ya wauza unga wiki hii likija na majina na matatu na makazi ya wahusika. Wapo waliotajwa kwa namba za magari yao.
Yapo majina 240, wako wahusika kutoka nchi za nje, lakini zaidi ya 95% ni watz
Miongoni mwao wamo Mdogo wa Rostam Azziz, aitwaye Assad Azziz (No 23 kwenye list) na mtoto wa Amatus Lyumba aliyekuwa BOT, Morine Amatus Lyumba(No 66 kwenye list).chanzo jamii forum
Nimeyascan majina kutoka kwenye gazeti hapa chini:
KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA UJENZI SHULE YA GHOROFA YA KATA YENYE
LIFT ILALA
-
NA MWANDISHI WETU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment