Gazeti la Jamhuri limeendelea kutaja majina ya wauza unga wiki hii likija na majina na matatu na makazi ya wahusika. Wapo waliotajwa kwa namba za magari yao.
Yapo majina 240, wako wahusika kutoka nchi za nje, lakini zaidi ya 95% ni watz
Miongoni mwao wamo Mdogo wa Rostam Azziz, aitwaye Assad Azziz (No 23 kwenye list) na mtoto wa Amatus Lyumba aliyekuwa BOT, Morine Amatus Lyumba(No 66 kwenye list).chanzo jamii forum
Nimeyascan majina kutoka kwenye gazeti hapa chini:
NMB Yatoa Sh Milioni 200 Njombe, Mtaka Aitaka Sekta ya Fedha Kuwekeza
Kwenye Huduma za Dialysis
-
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, ameziomba taasisi za kifedha
kusaidia upatikanaji wa mashine za kusafisha damu — dialysis — katika
Hospitali ya Ru...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment