Gazeti la Jamhuri limeendelea kutaja majina ya wauza unga wiki hii likija na majina na matatu na makazi ya wahusika. Wapo waliotajwa kwa namba za magari yao.
Yapo majina 240, wako wahusika kutoka nchi za nje, lakini zaidi ya 95% ni watz
Miongoni mwao wamo Mdogo wa Rostam Azziz, aitwaye Assad Azziz (No 23 kwenye list) na mtoto wa Amatus Lyumba aliyekuwa BOT, Morine Amatus Lyumba(No 66 kwenye list).chanzo jamii forum
Nimeyascan majina kutoka kwenye gazeti hapa chini:
MAONYESHO YA KUKU KUFANYIKA OKTOBA.
-
Katibu wa Chama za wadau wa uzalishaji wa vifaranga Tanzania (TCPA), Alpha
Ibrahimu akielezea namna maonyesho hayo yatakavyotoa fursa kwa ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment