Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, August 20, 2013

Mapapa wa madawa ya kulevya watajwa, wamo Morine Amatus Liyumba na mdogo wa Rostam Aziz


Gazeti la Jamhuri limeendelea kutaja majina ya wauza unga wiki hii likija na majina na matatu na makazi ya wahusika. Wapo waliotajwa kwa namba za magari yao.

Yapo majina 240, wako wahusika kutoka nchi za nje, lakini zaidi ya 95% ni watz

Miongoni mwao wamo Mdogo wa Rostam Azziz, aitwaye Assad Azziz (No 23 kwenye list) na mtoto wa Amatus Lyumba aliyekuwa BOT, Morine Amatus Lyumba(No 66 kwenye list).chanzo jamii forum

Nimeyascan majina kutoka kwenye gazeti hapa chini:



No comments:

Post a Comment