Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, December 30, 2013

Tazama Picha: Mwanamuziki Ditto ajikita zaidi kwenye kilimo na ufugaji

Msanii wa THT Lameck Ditto amesema ingawa anafanya muziki pia anafanya shughuli nyingi za ujasiriamali kikiwemo kilimo na ufugaji.

Ditto
Ditto akiwa katika banda la kuku

Akizungumza na Bongo5 leo, Ditto amesema ni muda mrefu sana amekuwa akijishughulisha na kilimo na ufugaji,shughuli ambazo zinamwingizia kipato kwa kuendesha maisha yake.
Hivi karibuni Ditto amekuWA akipost picha kwenye Instargam kuonyesha harakati zake za kilimo na ufugaji.
Ditto.

Kuku wa Ditto
Mfugo wa kuku


Mashamba
Ditto akiwa shambani
Chanzo: Bongo5


TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)

No comments:

Post a Comment