Gerard Pique akipongezwa na wachezaji wenzake, Alexis Sanchez na Lionel Messi baada ya kuisawazishia Barca
TIMU ya Barcelona imeacha pointi mbili mbele ya Levante baada ya sare ya kufungana bao 1-1 katika mechi ya La Liga usiku huu.
Vyntra
alitangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 10, lakini Gerard Pique
akaisawazishia Barca dakika tisa baadaye. Lionel Messi alicheza lakini
hakuweza kuziona nyavu za Levante zilizokuwa zinalindwa na kipa Keylor
Navas aliyeokoa michomo mingi ya hatari.
Barca
inaendelea kukaa kileleni kwa kutimiza pointi 51 baada ya kucheza mechi
20, sasa ikiizidi Real Madrid kwa pointi moja tu katika nafasi ya pili.
Atletico Madrid inaweza kupanda kileleni ikiifunga Sevilla kwa
kufikisha pointi 53, hadi sasa ikiwa inaongoza 1-0, bao la David Silva
dakika ya 18.
TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YEU KWA HABARI NYINGII MOTOMOTO(USIPITWEEEE)
Mfumo Mpya wa Kodi Kuleta Mapinduzi Makubwa ya Ukusanyaji wa Mapato Nchini.
-
Na Mwandishi Wetu
Hatua kubwa ya mageuzi ya kodi nchini imefikiwa kufuatia tangazo la kuanza
kutumika kwa mfumo mpya wa ukusanyaji wa kodi za ndani, hatua...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment