Kikao cha madiwani kilikuwa kifanyike kesho bila kuwepo dkt anatory aman lakini sasa tumepata document inayodaiwa ni zuio la mahakama kwa madiwani 9 kutoshiriki kikao hicho mpaka kesi ya msingi itakapoanza kusikilizwa feb 20,2014. aliyeweka pinagmizi mahakamani ni Chief Kalumuna diwani wa kata ya Kahororo ccm.
Hii inaweza kuvuruga kabisa mipango ya kumaliza mgogoro huo na ni kama kuchochea moto kwa petrol
napost zuio hilo kutoka mahakamani hivi punde.
![]()
Akwilapo Atangaza Vita Dhidi ya Uzembe Sekta ya Ardhi, Azindua “Samia Ardhi
Kliniki” Kuimarisha Haki za Wananchi
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo,
ameutumia uzinduzi wa “Samia Ardhi Kliniki” jijini Da...
7 hours ago



No comments:
Post a Comment