Kikao cha madiwani kilikuwa kifanyike kesho bila kuwepo dkt anatory aman lakini sasa tumepata document inayodaiwa ni zuio la mahakama kwa madiwani 9 kutoshiriki kikao hicho mpaka kesi ya msingi itakapoanza kusikilizwa feb 20,2014. aliyeweka pinagmizi mahakamani ni Chief Kalumuna diwani wa kata ya Kahororo ccm.
Hii inaweza kuvuruga kabisa mipango ya kumaliza mgogoro huo na ni kama kuchochea moto kwa petrol
napost zuio hilo kutoka mahakamani hivi punde.
![]()
Exim Bank yazidi kuwekeza katika maendeleo ya jamii Zanzibar
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Zanzibar. Benki ya Exim Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya
kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa Uwajibi...
1 day ago



No comments:
Post a Comment