Kikao cha madiwani kilikuwa kifanyike kesho bila kuwepo dkt anatory aman lakini sasa tumepata document inayodaiwa ni zuio la mahakama kwa madiwani 9 kutoshiriki kikao hicho mpaka kesi ya msingi itakapoanza kusikilizwa feb 20,2014. aliyeweka pinagmizi mahakamani ni Chief Kalumuna diwani wa kata ya Kahororo ccm.
Hii inaweza kuvuruga kabisa mipango ya kumaliza mgogoro huo na ni kama kuchochea moto kwa petrol
napost zuio hilo kutoka mahakamani hivi punde.
![]()
KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA UJENZI SHULE YA GHOROFA YA KATA YENYE
LIFT ILALA
-
NA MWANDISHI WETU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
5 hours ago



No comments:
Post a Comment