Taarifa inasema gari aina ya NOAH ilikuwa imebeba abiria kutoka Itigi wakielekea Singida Mjini. Dereva na utingo wa Lori walikimbia baada ya ajali hiyo kutokea. CHANZO: ITV BREAKING NEWS.
TEA & TOTALENERGIES MARKETING LTD WAKABIDHI MADWATI 130 WILAYANI KIBITI
-
Kampuni ya TotalEnergies Marketing Ltd kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu
Tanzania (TEA) wamekabidhi madawati 130 katika shule ya Msingi Jaribuni
Mpaka...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment