Ndege ya kampuni ya Kenya Airways imetua pembeni ya njia kuu yaani runway na kushindwa kutua salama kama inavyotakiwa uwanja wa ndege wa JNIA.Tunamshukuru Mungu mjaza neema ndogo ndogo na kubwa nyepesi na nzito nyembamba kwa nene kwa kuruhusu wenzetu hawa kutoka wote kwa amani bila mikwaruzo.Narudia tena shukrani pekee kwa rubani aliecheza nayo tairi ilipopata pancha huku akilazimisha ibaki njia kuu
Serikali Iko Macho: Mbibo Awatia Moyo Watumishi Ofisi ya RMO Mara
-
-Asifu Kasi ya Makusanyo ya Maduhuli
-Mara yafanikiwa kukusanya Tsh bilioni 112.61, sawa na asilimia 107.25 ya
lengo la kipindi husika
-Ahimiza Uzingatiaj...
5 hours ago


Sio kweli kuwa ndege hiyo ilibust tyre,chanzo chako cha habari kimekudanganya,rubani aliingia pembeni ya runway baada ya kutoona vizuri runway kutokana na mvua kubwa iliyokua inanyesha
ReplyDelete