Ndege ya kampuni ya Kenya Airways imetua pembeni ya njia kuu yaani runway na kushindwa kutua salama kama inavyotakiwa uwanja wa ndege wa JNIA.Tunamshukuru Mungu mjaza neema ndogo ndogo na kubwa nyepesi na nzito nyembamba kwa nene kwa kuruhusu wenzetu hawa kutoka wote kwa amani bila mikwaruzo.Narudia tena shukrani pekee kwa rubani aliecheza nayo tairi ilipopata pancha huku akilazimisha ibaki njia kuu
UCSAF Yajivunia Kupeleka Mawasiliano Vijijini, Zaidi ya Minara 2,000
Yajengwa Nchini.
-
Na Belinda Joseph- Dodoma.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umeendelea kuwa nguzo muhimu katika
kusogeza huduma za mawasiliano karibu na wananchi, hus...
11 hours ago


Sio kweli kuwa ndege hiyo ilibust tyre,chanzo chako cha habari kimekudanganya,rubani aliingia pembeni ya runway baada ya kutoona vizuri runway kutokana na mvua kubwa iliyokua inanyesha
ReplyDelete