Jamani so sweat, kingzion mashaalah kamekuwa hako, haya kwa
wale ambao walikuwa hawamfahamu vizri mtoto wa dinamarios leo hii mtandao wa
makubwa haya tumeamua kuwaletea hapo juu ili mumuone, kiukweli mama utamwambia
nin kuhusu mtoto? Haya guys umebaki wew na mimi fanya na wewe umshkishe mimba
au ushkishwe mimba na wew uskie utamu wa kuitwa mama , haya hongera sana staa
dinamarios i hope soon utamtaftia mdogo wake si ndio eeh.
TANZANIA NCHI YA MFANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA
SEKTA BINAFSI, JAPAN, WAKULIMA WADOGO WA KAHAWA
-
SHIRIKA la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD) kwa ushirikiano wa
Wizara ya Kilimo, Misitu na Uvuvi ya Japan (MAFF) na sekta binafsi chini ya
makamp...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment