AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani
mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca
Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia
imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
UKAGUZI WA VYAKULA VYA MIFUGO NI ZOEZI ENDELEVU- DKT. OMARCH
-
Hayo yamesemwa na Meneja wa Maabara Kuu ya Veterinari kutoka Wakala ya
Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt. Geofrey Omarch alipokuwa
akifanya ukaguz...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment