AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani
mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca
Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia
imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
AGIZO LA RAIS SAMIA LA KUFUNGUA VIWANDA VYA TEHAMA NCHINI LAFANIKIWA ARUSHA.
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan
kuagiza Tume ya Tehama Nchini kawatafuta wawekezaji wat...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment