Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 6, 2014

HOT NEWSS::AJALI MBAYA YA NADIA NA BASI KUBWA YATOKEA MKOANI MBEYA

 Gari aina ya Toyota Nadia likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana na basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola leo asubuhi mkoani Mbeya.
 Basi la kubeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola baada ya kugongana na Nadia.


AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl

No comments:

Post a Comment