AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani
mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca
Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia
imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
CHONGOLO ASISITIZA ULINZI MRADI WA UMWAGILIAJI MKOMBOZI KWA MANUFAA YA
WATANZANIA WOTE
-
NIRC Iringa
Waziri wa Wizara ya Kilimo, Daniel Chongolo, amesisitiza ulazima wa
kulindwa kwa Mradi wa Umwagiliaji Mkombozi uliopo Pawaga mkoani Iringa,...
12 minutes ago






No comments:
Post a Comment