AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani
mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca
Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia
imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
WAZIRI WA FEDHA ASISITIZA UMUHIMU WA NCHI ZA AFRIKA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI
ILI KUWA NA UCHUMI ENDELEVU
-
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akichangia mada katika
mkutano ulioangazia umuhimu wa sekta ya maji katika maendeleo ya watu na
uchumi...
17 hours ago






No comments:
Post a Comment