AJALI hii imetokea asubuhi hii katika eneo la maghorofani
mkoani Mbeya baada ya basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca
Cola kugongana na gari aina ya Toyota Nadia. Katika ajali hiyo, Nadia
imeharibika vibaya kwa mbele.chanzo Gpl
GF YAADHIMISHA MIAKA 19 YA KUANZISHWA KWAKE,ASILIMIA 90 YA WAFANYAKAZI NI
WAZAWA.
-
Katika kuadhimisha miaka 19 ya kuanzishwa kwa kiwanda cha kuunganisha
magari cha GF, uongozi wa kiwanda hicho umesema unajivunia kuwa sehemu ya
kuzalisha ...
1 hour ago






No comments:
Post a Comment