Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongozana na Naibu Gavana wa BOT Dkt. Natu Mwamba akiwasili makao makuu ya Benki Kuu ya Tanzania alikofanya ziara ya kushtukiza leo Machi 10, 2016 .
TeknoHama : TCRA Kuendelea Kushirikiana na TBN ili kusaidia kuzalisha
maudhui yenye tija
-
Na Mwandishi Wetu , Dar.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeahidi kufanyakazi na Mtandao wa
Wana Blogu Tanzania (TBN), pamoja na vyama vingine vya wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment