Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongozana na Naibu Gavana wa BOT Dkt. Natu Mwamba akiwasili makao makuu ya Benki Kuu ya Tanzania alikofanya ziara ya kushtukiza leo Machi 10, 2016 .
VIONGOZI GEITA WATAKA USHIRIKIANO WA POLISI JAMII UDUMISHWE KUPUNGUZA
UHALIFU
-
Wananchi wa Mkoa wa Geita wametakiwa kuendelea kudumisha na kuimarisha
ushirikiano uliopo kati ya Jeshi la Polisi Jamii na wananchi, ili kupunguza
uhalif...
16 hours ago


No comments:
Post a Comment