Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake. Maureen Khaemba alifika hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari alisahau pamba tumboni mwake....hali ambayo imemsababishia maumivu chungu zima. Beatrice Maganga na taarifa hiyo
PPAA: Moduli Mpya Yaongeza Ufanisi katika Usimamizi wa Malalamiko na Rufaa
za Ununuzi wa Umma
-
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema jumla ya malalamiko 549
(Administrative Reviews) yamewasilishwa na kushughulikiwa na Taasisi Nunuzi
kupit...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment