Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake. Maureen Khaemba alifika hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari alisahau pamba tumboni mwake....hali ambayo imemsababishia maumivu chungu zima. Beatrice Maganga na taarifa hiyo
VIJANA WATATU WAHUKUMIWA KIFUNGO KISA KUZUSHA KUIBIWA NYETI, MWINGINE JELA
MIAKA THELATHINI (30) - RUKWA
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Rukwa linaendelea na mapambano dhidi ya wahalifu
mbalimbali wakiwemo wale wanaosababisha taharuki katika jamii kwa kuzusha
kuibiwa...
9 minutes ago

No comments:
Post a Comment