Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake. Maureen Khaemba alifika hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari alisahau pamba tumboni mwake....hali ambayo imemsababishia maumivu chungu zima. Beatrice Maganga na taarifa hiyo
MAGARO AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU.
-
Na Nasra Ismail- Geita
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Geita Karia Magaro
amewataka madiwani kusimamia Sheria kanuni na taratibu za uende...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment