Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, August 21, 2013

VYUO VYA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA (IAA) NA GALGOTIAS UNIVERSITY CHA INDIA VYASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO

1Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania TCRA Bw. Inocent Mungi ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Profesa John Nkoma akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kuanza kwa ushirikiano kati ya chuo Kikuu cha Galgotias University  cha India na chuo cha Uhasibu cha Arusha Institute Of Accountancy Arusha (IAA) wananfunzi kutoka Tanzania watakwenda kusoma katika chuo hicho kwa kozi za Master Degree in Software Engneering, Information Security na Computer Applications, wanaoshuhudia tukio hilo ni Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Profesa Johannes Monyo kushoto na Dr Ashok Saxsena Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Golgotias, uzinduzi huo umefanyika jana kwenye hoteli ya Holiday Inn Posta 2Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania TCRA Bw. Inocent Mungi ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Profesa John Nkoma akionyesha mikataba hiyo mara baada ya  uzinduzi rasmi wa kuanza kwa ushirikiano kati ya chuo Kikuu cha Galgotias University  cha India na chuo cha Uhasibu cha Arusha Institute Of Accountancy Arusha (IAA)  wanaoshuhudia tukio hilo kupiga makofi ni Mkuu wa Chuo cha (IAA) Profesa Johannes Monyo kushoto na Dr. Ashok Saxsena Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Golgotias, uzinduzi huo umefanyika jana kwenye hoteli ya Holiday Inn Posta 3 Mkuu wa Chuo cha IAA Profesa Johannes Monyo kushoto ba Dk Ashok Saxsena Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Golgotias wakibadilishana mikataba mara baada ya  uzinduzi huo umefanyika jana kwenye hoteli ya Holiday Inn Posta, katikati ni Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania TCRA Bw. Inocent Mungi 4 Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha  (IAA) Profesa Johannes Monyo kushoto na Dk Ashok Saxsena Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Golgotias, wakionyesha mikataba  mara baada ya uzinduzi huo umefanyika jana kwenye hoteli ya Holiday Inn Posta, katikati ni  Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania TCRA Bw. Inocent Mungi 5Dr Suleiman Mohamed Mjumbe wa Baraza la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) akizungumza katika uzinduzi huo 6Dk Ashok Saxsena Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Galgotias akielezea mipango  mara baada ya kuingia mkataba wa ushirikiano na  chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) 7Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika uzinduzi huo jana 8Wawakilishi wa vyuo mbalimbali na taasisi walioalikwa wakiwa katika hafla hiyo 9Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha  (IAA) Profesa Johannes Monyo akizungumza katika uzinduzi huo jana

No comments:

Post a Comment