Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwa na Rais mpya wa Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika wakiwa katika picha ya pamoja baada ya rais mpya wa Malawi kukabidhiwa madaraka leo jijini Brantyre kwenye hoteli Sunbird. Baada ya kukutana viongozi hao walipata fursa ya kuzungumzia masuala la kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili na kukubaliana kuendelea kuwa na mahusiano mema kama nchi zinazoishi ndugu na jirani. Picha kwa Hisani ya Ikulu ya Malawi
Benki ya CRDB kushirikiana na wadau kimataifa Mpango wa MADE Alliance
Africa kukuza ujumuishi wa Kidijitali kwa Wakulima nchini
-
Benki ya CRDB inajivunia kutangaza ushirika katika mpango wa uwezeshaji na
ujumuishi wa wakulima kidijitali nchini kupitia programu ya 'MADE
Alliance: Af...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment